❞ كتاب MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA ❝  ⏤ عبد الله بن محمد السلفي

❞ كتاب MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA ❝ ⏤ عبد الله بن محمد السلفي

Shukrani zote zinamstahiki Allaah
peke yake, Rahma na amani zimwendee
Mtume (Swalla Allaahu ́alayhi wa sallam) pamoja na ahli zake na Swahaba
wake wote.
Amma ba’ad:
Hakika sababu za msingi zilizonipelek
ea kuandika kitabu hiki na hali
iliyojionyesha ya kushamiri
kwa harakati za Raafidhw
ah za kuwalingania watu
katika dhehebu hili potofu na haraka
ti hizi zimekuwa kiulimwengu, na
kutokana na hatari kubwa ya kundi hili kwa dini ya Uislamu na kutokana na
hali ya kughafilika na kuji
sahau kwa Waislamu wengi
kutokana na hatari ya
kundi hili, na kutokana na
itikadi yao iliyojaa ushiri
kina, na kuitukana Qur-aan
na Maswahaba (Radhi za Allaah ziwe
juu yao) na kupituka mipaka juu ya
Maimamu wao, ndio maana nimeazimia
kuandika kitabu hiki na kuyajibu
mambo yanayowatatiza watu kuhusu
kundi hili kwa muhtasari, nikufuata
nyayo za Shaykh wetu Shaykh ́Abdullaah bin ́Abdir-Rahmaan Al-Jibriyn
(Allaah Amrehemu) katika kitabu chake
"At-Ta’aliyqaat ́alaa Matni lumu ́atil
I’itiqaad" na kwa kunukuu katika vitabu
vya Raafidhwah ambavyo ni maarufu
na mashuhuri kwao, na
katika vya Ahlus-Sunnah miongoni mwa wema
waliotangulia na waliokuja baaada
yao ambao waliwajibu Raafidhwah na
kubainisha ubovu wa itikad
i zao zilizosimama juu ya ushirikina, na uongo, na
kuchupa mipaka, na matusi.
Na nimejaribu kwa kadiri ya uwezo wang
u katika kitabu hiki kuwasimamishia
hoja, kupitia vitabu vyao wanavyov
itegemea, kama alivyosema Shaykh
Ibraahiym bin Sulaymaan Al-Ja
b-haan (Allaah Amrehemu)
"Nitakusimamishia
hoja kupitia mdomo
wako ewe Shi'a.”
Mwisho namuomba Allaah Awanufaishe ku
pitia kitabu hiki wenye mazingatio
kama alivyosema Allaah:

www.alhidaaya.com
"Hakika katika hayo mna ukumbusho
kwa wenye kuwa na nyoyo
zinazozingatia, au mwenye kutega sikio na
hali moyo wake uko haadhwir"
[Qaaf 50: 37].
Natoa shukrani kwa kila al
iyechangia katika kitabu
hiki, namuomba Allaah
Awalipe kila la kheri. Rahma na aman
i zimuendee bwana wetu Muhammad na
ahli zake na Maswahaba zake.





Kitabu hiki ina zungumzia itikadi batili za kishia.
عبد الله بن محمد السلفي - له جهود في دراسة عقائد الشيعة. ❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ من عقائد الشيعة ❝ ❞ من هم الشيعة الاثنا عشرية ؟ ❝ ❞ MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA ❝ ❞ الشيعة الاثنا عشرية وتكفيرهم لعموم المسلمين ❝ ❞ Uuml ber den Glauben der Schia ❝ ❞ Кто такие шииты имамиты ❝ ❞ Kendi Kaynaklarından C acirc fer icirc Şi icirc ve R acirc fiz icirc lerin İnan ccedil Esasları ❝ ❞ Aperçu des croyances chiites من عقائد الشيعة ❝ ❞ Qui sont les chiites duod eacute cimains ❝ الناشرين : ❞ موقع دار الإسلام ❝ ❞ دار الإسلام للنشر والتوزيع ❝ ❞ مكتب الدعوة بالربوة ❝ ❞ دار آسيا لترجمة ونشر الكتاب الإسلامي ❝ ❱
من كتب إسلامية باللغة السواحلية كتب إسلامية بلغات أخرى - مكتبة كتب إسلامية.

نبذة عن الكتاب:
MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA

1997م - 1445هـ
Shukrani zote zinamstahiki Allaah
peke yake, Rahma na amani zimwendee
Mtume (Swalla Allaahu ́alayhi wa sallam) pamoja na ahli zake na Swahaba
wake wote.
Amma ba’ad:
Hakika sababu za msingi zilizonipelek
ea kuandika kitabu hiki na hali
iliyojionyesha ya kushamiri
kwa harakati za Raafidhw
ah za kuwalingania watu
katika dhehebu hili potofu na haraka
ti hizi zimekuwa kiulimwengu, na
kutokana na hatari kubwa ya kundi hili kwa dini ya Uislamu na kutokana na
hali ya kughafilika na kuji
sahau kwa Waislamu wengi
kutokana na hatari ya
kundi hili, na kutokana na
itikadi yao iliyojaa ushiri
kina, na kuitukana Qur-aan
na Maswahaba (Radhi za Allaah ziwe
juu yao) na kupituka mipaka juu ya
Maimamu wao, ndio maana nimeazimia
kuandika kitabu hiki na kuyajibu
mambo yanayowatatiza watu kuhusu
kundi hili kwa muhtasari, nikufuata
nyayo za Shaykh wetu Shaykh ́Abdullaah bin ́Abdir-Rahmaan Al-Jibriyn
(Allaah Amrehemu) katika kitabu chake
"At-Ta’aliyqaat ́alaa Matni lumu ́atil
I’itiqaad" na kwa kunukuu katika vitabu
vya Raafidhwah ambavyo ni maarufu
na mashuhuri kwao, na
katika vya Ahlus-Sunnah miongoni mwa wema
waliotangulia na waliokuja baaada
yao ambao waliwajibu Raafidhwah na
kubainisha ubovu wa itikad
i zao zilizosimama juu ya ushirikina, na uongo, na
kuchupa mipaka, na matusi.
Na nimejaribu kwa kadiri ya uwezo wang
u katika kitabu hiki kuwasimamishia
hoja, kupitia vitabu vyao wanavyov
itegemea, kama alivyosema Shaykh
Ibraahiym bin Sulaymaan Al-Ja
b-haan (Allaah Amrehemu)
"Nitakusimamishia
hoja kupitia mdomo
wako ewe Shi'a.”
Mwisho namuomba Allaah Awanufaishe ku
pitia kitabu hiki wenye mazingatio
kama alivyosema Allaah:

www.alhidaaya.com
"Hakika katika hayo mna ukumbusho
kwa wenye kuwa na nyoyo
zinazozingatia, au mwenye kutega sikio na
hali moyo wake uko haadhwir"
[Qaaf 50: 37].
Natoa shukrani kwa kila al
iyechangia katika kitabu
hiki, namuomba Allaah
Awalipe kila la kheri. Rahma na aman
i zimuendee bwana wetu Muhammad na
ahli zake na Maswahaba zake.





Kitabu hiki ina zungumzia itikadi batili za kishia. .
المزيد..

تعليقات القرّاء:

Shukrani  zote  zinamstahiki  Allaah  
peke  yake,  Rahma  na  amani  zimwendee  
Mtume  (Swalla  Allaahu   ́alayhi  wa  sallam)  pamoja  na  ahli  zake  na  Swahaba  
wake wote.
Amma ba’ad:
Hakika   sababu   za   msingi   zilizonipelek
ea   kuandika   kitabu   hiki   na   hali   
iliyojionyesha ya kushamiri
kwa harakati za Raafidhw
ah za kuwalingania watu
katika   dhehebu   hili   potofu   na   haraka
ti   hizi   zimekuwa   kiulimwengu,   na   
kutokana  na  hatari  kubwa  ya  kundi  hili  kwa  dini  ya  Uislamu  na  kutokana  na  
hali  ya  kughafilika  na  kuji
sahau  kwa  Waislamu  wengi  
kutokana  na  hatari  ya  
kundi hili, na kutokana na
 itikadi yao iliyojaa ushiri
kina, na kuitukana Qur-aan
na  Maswahaba  (Radhi  za  Allaah  ziwe  
juu  yao)  na  kupituka  mipaka  juu  ya  
Maimamu  wao,  ndio  maana  nimeazimia  
kuandika  kitabu  hiki  na  kuyajibu  
mambo  yanayowatatiza  watu  kuhusu  
kundi  hili  kwa  muhtasari,  nikufuata  
nyayo  za  Shaykh  wetu  Shaykh   ́Abdullaah  bin   ́Abdir-Rahmaan  Al-Jibriyn  
(Allaah  Amrehemu)  katika  kitabu  chake  
"At-Ta’aliyqaat   ́alaa  Matni  lumu ́atil  
I’itiqaad" na kwa kunukuu katika vitabu
 vya Raafidhwah ambavyo ni maarufu
na   mashuhuri   kwao,   na   
katika   vya   Ahlus-Sunnah   miongoni   mwa   wema   
waliotangulia  na  waliokuja  baaada  
yao  ambao  waliwajibu  Raafidhwah  na  
kubainisha ubovu wa itikad
i zao zilizosimama juu ya ushirikina, na uongo, na
kuchupa mipaka, na matusi.
Na nimejaribu kwa kadiri ya uwezo wang
u katika kitabu hiki kuwasimamishia
hoja,   kupitia   vitabu   vyao   wanavyov
itegemea,   kama   alivyosema   Shaykh   
Ibraahiym bin Sulaymaan Al-Ja
b-haan (Allaah Amrehemu)
"Nitakusimamishia
hoja kupitia mdomo
wako ewe Shi'a.”
Mwisho namuomba Allaah Awanufaishe ku
pitia kitabu hiki wenye mazingatio
kama alivyosema Allaah:

www.alhidaaya.com
 "Hakika    katika    hayo    mna    ukumbusho
    kwa    wenye    kuwa    na    nyoyo    
zinazozingatia,  au  mwenye  kutega  sikio  na
  hali  moyo  wake  uko  haadhwir"
%A[Qaaf 50: 37].
Natoa  shukrani  kwa  kila  al
iyechangia  katika  kitabu
  hiki,  namuomba  Allaah  
Awalipe kila la kheri. Rahma na aman
i zimuendee bwana wetu Muhammad na
ahli zake na Maswahaba zake.

 


Ni Lini Limedhihiri Kundi La Raafidhwah?
Lilianza  kundi  la  Raafidhwah  wakati  
alipojitokeza  Myahudi  mmoja  aitwae  
 ́Abdullaah  bin  Sabai  akidai  kuwa  ni  
Muislam,  na  kwa  madai  ya  kuwapenda  
Ahlul-Bayt  (watu  wa  nyum
bani  kwa  Mtume)  na  akapituka  mipaka  katika  
kumtukuza   ́Aliy  (Radhiya  Allaahu   ́anhu)  na  akadai  kuwa  Mtume  alimuusia  
kuwa  Khalifa  baada  yake,  kisha  akamnyan
yua  na  kumuweka  katika  daraja  ya  
uungu na haya yanathibitishwa na vitabu vya Ki-Shia. Kwa mfano Al-Qummiy
katika kitabu chake ‘
Al-Maqaalatu wal-Firaq’
.
(1)
Anakiri  kuwepo  kwake  (Ibnu  Sabai)  na
  anamzingatia  kwam
ba  ndie  mtu  wa  
mwanzo  aliyesema  kuhusiana  na  Uimamu  wa   ́Aliy  na  kurejea  kwake,  na  
akaanzisha  kuwatukana  Abu  Bakr  na   ́Umar  na   ́Uthmaan  na  Maswahaba  
wengine,  kama  alivyosema  An-Nuub
akhtiy  katika  kitabu  chake  ‘
Firaqu    Ash-
Shi’ah’
.
(2)
Na  kama  alivyosema  pia  Al-K
ushiy  katika  kitabu  chake  
maarufu  ‘Rijaalul-
Kushiy’
.
 (3)
Na katika Mashia wa sasa hivi wanaosema kuwepo kwa  ́Abdullaah bin Sabai
ni  Muhammad  bin   ́Aliy  Al-Mu’
allim  katika  kitabu  chake  
‘ ́Abdullaah  bin  Sabai  
Al-Haqiyqatul-Majhuulah’
.
 (4)
Na mtu kukubali jambo ndio dalili kubwa, na hawa wote tuliowataja ni katika
Masheikh wakubwa wa ki-Raafidhwah.
Amesema  Al-Baghdaadiy:  "As-Sabaiyyah  
ni  wafuasi  wa  ‘Abdullaah  bin  Sabai  
ambae  alichupa  mipaka  katika  kumtuk
uza   ́Aliy  (Radhiya  Allaahu   ́anhu)  na  
kudai  kuwa  alikuwa  ni  Nabii,  Kisha  
akachupa  mipaka  zaidi  mpaka  akadai  
kuwa alikuwa ni mungu."
Na  amesema  Al-Baghdaadiy  vilevile:    
"Na  alikuwa  Ibnu  Sawdai  yaani  Ibnu  
Sabai  -  asili  yake  ni  Myah
udi  katika  watu    wa  Aliirah,  akadhihirisha  Uislamu  
kwa  kutaka  awe  na  ukubwa  kwa  watu  wa  Al-Kuufa,  akawaambia  (watu  wa  
Kuufa)  kwamba  amekuta  katika  Taurati  kwamba  kila  Mtume  anaye  Waswiy  
1
Al-Maqaalaatu wal-Firaq cha Al-Qummiy
 uk. 10-21.
2
Firaqu ash-Shi’ah
 cha An-Nuubakhtiy uk. 19-20.
3
    Aliyoyataja  Al-Kushiy  katika  riwaya  zake  
mbalimbali  kutoka  kwa  Ibni  Sabai  na  itikadi  
zake, tazama namba: 170, 171, 172, 173, 174 katika uk. 106-108.
4
  Na  kitabu  hiki  ni  majibu  ya  kitabu  alic
hokitunga  Mshia  aitwae  Murtadhwa  Al-‘Askariy  
kwa  anuani,  
‘Abdullaah  bin  Sabai  wa  Asaatwiru  Ukhra’
  ambae  alipinga  katika  kitabu  chake  
kuwepo kwa Abdullaah bin Sabai.
7
www.alhidaaya.com
(mrithi)  na  kwamba   ́Aliy  (Radhiya  
Allaahu   ́anhu)  ndie  mrithi  wa  Mtume  
(Swalla Allaahu  ́alayhi wa sallam)".

 

 Kitabu hiki ina zungumzia itikadi batili za kishia.



سنة النشر : 1997م / 1418هـ .
حجم الكتاب عند التحميل : 289.3 كيلوبايت .
نوع الكتاب : pdf.
عداد القراءة: عدد قراءة MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA

اذا اعجبك الكتاب فضلاً اضغط على أعجبني
و يمكنك تحميله من هنا:

تحميل MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA
شكرًا لمساهمتكم

شكراً لمساهمتكم معنا في الإرتقاء بمستوى المكتبة ، يمكنكم االتبليغ عن اخطاء او سوء اختيار للكتب وتصنيفها ومحتواها ، أو كتاب يُمنع نشره ، او محمي بحقوق طبع ونشر ، فضلاً قم بالتبليغ عن الكتاب المُخالف:

برنامج تشغيل ملفات pdfقبل تحميل الكتاب ..
يجب ان يتوفر لديكم برنامج تشغيل وقراءة ملفات pdf
يمكن تحميلة من هنا 'http://get.adobe.com/reader/'

المؤلف:
عبد الله بن محمد السلفي - Abdullah al Salfi

كتب عبد الله بن محمد السلفي له جهود في دراسة عقائد الشيعة.❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ من عقائد الشيعة ❝ ❞ من هم الشيعة الاثنا عشرية ؟ ❝ ❞ MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA ❝ ❞ الشيعة الاثنا عشرية وتكفيرهم لعموم المسلمين ❝ ❞ Uuml ber den Glauben der Schia ❝ ❞ Кто такие шииты имамиты ❝ ❞ Kendi Kaynaklarından C acirc fer icirc Şi icirc ve R acirc fiz icirc lerin İnan ccedil Esasları ❝ ❞ Aperçu des croyances chiites من عقائد الشيعة ❝ ❞ Qui sont les chiites duod eacute cimains ❝ الناشرين : ❞ موقع دار الإسلام ❝ ❞ دار الإسلام للنشر والتوزيع ❝ ❞ مكتب الدعوة بالربوة ❝ ❞ دار آسيا لترجمة ونشر الكتاب الإسلامي ❝ ❱. المزيد..

كتب عبد الله بن محمد السلفي

كتب شبيهة بـ MIONGONI MWA ITIKADI ZA KISHIA:

قراءة و تحميل كتاب BID acute AH ZA JENEZA PDF

BID acute AH ZA JENEZA PDF

قراءة و تحميل كتاب BID acute AH ZA JENEZA PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب THE CHENNAI TREATISE ON ANNUAL PAYMENT OF ZAKAAH PDF

THE CHENNAI TREATISE ON ANNUAL PAYMENT OF ZAKAAH PDF

قراءة و تحميل كتاب THE CHENNAI TREATISE ON ANNUAL PAYMENT OF ZAKAAH PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب HII NDIYO ITIKADI YETU PDF

HII NDIYO ITIKADI YETU PDF

قراءة و تحميل كتاب HII NDIYO ITIKADI YETU PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب CARRANZA’S CLINICAL PERIODONTOLOGY TENTH EDITION PDF

CARRANZA’S CLINICAL PERIODONTOLOGY TENTH EDITION PDF

قراءة و تحميل كتاب CARRANZA’S CLINICAL PERIODONTOLOGY TENTH EDITION PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب MODERN TECHNOLOGY AND THE DEHUMANIZATION OF MAN PDF

MODERN TECHNOLOGY AND THE DEHUMANIZATION OF MAN PDF

قراءة و تحميل كتاب MODERN TECHNOLOGY AND THE DEHUMANIZATION OF MAN PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Za scaron tita od nesreća Valorizacija stava ashaba poslije smrti Allahova Poslanika sallallahu alejhi ve sellem PDF

Za scaron tita od nesreća Valorizacija stava ashaba poslije smrti Allahova Poslanika sallallahu alejhi ve sellem PDF

قراءة و تحميل كتاب Za scaron tita od nesreća Valorizacija stava ashaba poslije smrti Allahova Poslanika sallallahu alejhi ve sellem PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Life in Al Barzakh PDF

Life in Al Barzakh PDF

قراءة و تحميل كتاب Life in Al Barzakh PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب 90 dokaza iz Biblije koji dokazuju da Isus ne može biti Bog PDF

90 dokaza iz Biblije koji dokazuju da Isus ne može biti Bog PDF

قراءة و تحميل كتاب 90 dokaza iz Biblije koji dokazuju da Isus ne može biti Bog PDF مجانا