❞ كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU ❝

❞ كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU ❝

Kikundi cha wanafunzi wa chuo


Qur'ani ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na ubora wake, ukilinganisha na
maneno mengine, ni kama ubora wa Mwenyezi Mungu juu ya viumbe wake.
Kuisoma Qur'ani ni jambo bora sana ambalo ulimi ume
litamka.
MIONGONI MWA FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR'NI NA
KUIFUNDISHA NI:
MALIPO YA KUIFUNDISHA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Mbora wenu zaidi ni yule
aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".
Bukhari.
MALIPO YAKUISOMA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, amesema kuwa:
"Mwenye kusoma herufi katika kitabu cha
Mwenyezi Mungu atapata zuri (moja) kwa herufi hiyo
(moja aliyoisoma), na zuri
(moja) ni kwa mazuri kumi mfano wake
"
.
Tirmidhiy
.
FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR’ANI, KUIHIFADHI NA KUISOMA
KWA UHODARI
Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, kwamba:
"Mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na
ilhali ni mwenye kuihifadhi, atakuwa pamoja na Malaika, Watukufu, Wema. Na
mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na ilhali yeye anaipatiliza na huku ikiwa
ngumu kwake, basi atapata malipo mawili"
.
Bukhari,

Muslim
.
Na Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, kuwa:
"
Ataambiwa msomaji wa Qur'ani kwamba: Soma na
panda (daraja) na soma kama ulivyokuwa ukisoma duniani, kwani daraja yako ni
pale mwisho wa aya utakayoisoma".
Tirmidhiy
.
MALIPO YA MTU AMBAYE MTOTO WAKE AMEJIFUNZA QUR’ANI
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema
kuwa:
"Yeyote aliyesoma Qur'ani na akajifunza na akaitekeleza, wazazi wake
watavalishwa taji la nuru Siku ya Kiyama. Mwangaza wake ni mfano wa
mwangaza wa jua. Na wazazi wake watavalishwa suti mbili, na kwa sababu hiyo,
watauliza: Ni kwa sababu ya jambo gani tumevishwa haya? Watajibiwa: Ni kwa
sababu ya mtoto wenu kujifinza Qur'ani"
.
Al-haakim
.
QUR'ANI KUMUOMBEA MSOMAJI WAKE HUKO AKHERA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Someni Qur'ani, kwani itakuja Siku ya Qiyama ikiwa ni muombezi wa wasomaji
wake"
.
Muslim
.
Aidha Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani,
amesema kuwa:
"Saumu na Qur'ani zitamuombea mja Siku ya Kiyama".
Ahmad, Al-
haakim
.
MALIPO YA KUJUMUIKA KWA AJILI YA KUSOMA QUR'ANI NA
KUIDURUSU
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na
amani, amesema kuwa:
"Hawakukusanyika watu katika nyumba miongoni mwa
nyumba za Mwenyezi Mungu Mtukufu wakikisoma kitabu chake na kukidurusu
FADHILA ZA
QUR’ANI
3


baina yao isipokuwa tu unawashukia utulivu na inawaenea rehma na Malaika
huwazunguka na Mwenyezi Mungu huwataja pamoja na viumbe walioko kwake
"
.
Abudaud
BAADHI YA KANUNI ZA USOMAJI:
TARATIBU ZA USOMAJI
Ibn-kathiir ametaja taratibu nyingi. Miongoni
mwake ni hizi: Mtu kutoshika Qur'ani na kutoisoma isipokuwa tu anapokuwa
twahara, kupiga mswaki kabla ya kuisoma Qur'ani, mtu kuvaa nguo zake nzuri
sana, kuelekea Qibla, kusitisha kusoma mtu anapokwenda myayo, kutokatisha
kusoma kwa kuzungumza isipokuwa tu kwa dharura, kuw
a makini, kusitisha
kusoma katika aya za ahadi (za rehma) ili msomaji a
ombe (rehma) na kusitisha
kusoma katika aya za makamio (ya adhabu) ili msomaj
i aombe kinga, kutouweka
msahafu ukiwa umetandazwa chini na kutoweka kitu chochote juu yake, baadhi ya
wasomaji kutosoma kwa sauti ya juu mbele ya baadhi
ya wasomaji wengine (ili
wasiwe kero) katika kusoma na kutosoma masokoni na katika sehemu za zogo.

NAMNA YA KUSOMA
*




TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR’ANI TUKUFU
-
من كتب إسلامية باللغة السواحلية كتب إسلامية بلغات أخرى - مكتبة كتب إسلامية.

نبذة عن الكتاب:
TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU

2011م - 1445هـ
Kikundi cha wanafunzi wa chuo


Qur'ani ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na ubora wake, ukilinganisha na
maneno mengine, ni kama ubora wa Mwenyezi Mungu juu ya viumbe wake.
Kuisoma Qur'ani ni jambo bora sana ambalo ulimi ume
litamka.
MIONGONI MWA FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR'NI NA
KUIFUNDISHA NI:
MALIPO YA KUIFUNDISHA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Mbora wenu zaidi ni yule
aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".
Bukhari.
MALIPO YAKUISOMA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, amesema kuwa:
"Mwenye kusoma herufi katika kitabu cha
Mwenyezi Mungu atapata zuri (moja) kwa herufi hiyo
(moja aliyoisoma), na zuri
(moja) ni kwa mazuri kumi mfano wake
"
.
Tirmidhiy
.
FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR’ANI, KUIHIFADHI NA KUISOMA
KWA UHODARI
Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, kwamba:
"Mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na
ilhali ni mwenye kuihifadhi, atakuwa pamoja na Malaika, Watukufu, Wema. Na
mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na ilhali yeye anaipatiliza na huku ikiwa
ngumu kwake, basi atapata malipo mawili"
.
Bukhari,

Muslim
.
Na Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, kuwa:
"
Ataambiwa msomaji wa Qur'ani kwamba: Soma na
panda (daraja) na soma kama ulivyokuwa ukisoma duniani, kwani daraja yako ni
pale mwisho wa aya utakayoisoma".
Tirmidhiy
.
MALIPO YA MTU AMBAYE MTOTO WAKE AMEJIFUNZA QUR’ANI
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema
kuwa:
"Yeyote aliyesoma Qur'ani na akajifunza na akaitekeleza, wazazi wake
watavalishwa taji la nuru Siku ya Kiyama. Mwangaza wake ni mfano wa
mwangaza wa jua. Na wazazi wake watavalishwa suti mbili, na kwa sababu hiyo,
watauliza: Ni kwa sababu ya jambo gani tumevishwa haya? Watajibiwa: Ni kwa
sababu ya mtoto wenu kujifinza Qur'ani"
.
Al-haakim
.
QUR'ANI KUMUOMBEA MSOMAJI WAKE HUKO AKHERA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Someni Qur'ani, kwani itakuja Siku ya Qiyama ikiwa ni muombezi wa wasomaji
wake"
.
Muslim
.
Aidha Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani,
amesema kuwa:
"Saumu na Qur'ani zitamuombea mja Siku ya Kiyama".
Ahmad, Al-
haakim
.
MALIPO YA KUJUMUIKA KWA AJILI YA KUSOMA QUR'ANI NA
KUIDURUSU
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na
amani, amesema kuwa:
"Hawakukusanyika watu katika nyumba miongoni mwa
nyumba za Mwenyezi Mungu Mtukufu wakikisoma kitabu chake na kukidurusu
FADHILA ZA
QUR’ANI
3


baina yao isipokuwa tu unawashukia utulivu na inawaenea rehma na Malaika
huwazunguka na Mwenyezi Mungu huwataja pamoja na viumbe walioko kwake
"
.
Abudaud
BAADHI YA KANUNI ZA USOMAJI:
TARATIBU ZA USOMAJI
Ibn-kathiir ametaja taratibu nyingi. Miongoni
mwake ni hizi: Mtu kutoshika Qur'ani na kutoisoma isipokuwa tu anapokuwa
twahara, kupiga mswaki kabla ya kuisoma Qur'ani, mtu kuvaa nguo zake nzuri
sana, kuelekea Qibla, kusitisha kusoma mtu anapokwenda myayo, kutokatisha
kusoma kwa kuzungumza isipokuwa tu kwa dharura, kuw
a makini, kusitisha
kusoma katika aya za ahadi (za rehma) ili msomaji a
ombe (rehma) na kusitisha
kusoma katika aya za makamio (ya adhabu) ili msomaj
i aombe kinga, kutouweka
msahafu ukiwa umetandazwa chini na kutoweka kitu chochote juu yake, baadhi ya
wasomaji kutosoma kwa sauti ya juu mbele ya baadhi
ya wasomaji wengine (ili
wasiwe kero) katika kusoma na kutosoma masokoni na katika sehemu za zogo.

NAMNA YA KUSOMA
*




TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR’ANI TUKUFU .
المزيد..

تعليقات القرّاء:

1

1.
FADHILA ZA QUR’ANI

2.
TAFSIRI YA SEHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR’ANI




3.
MASWALI   MUHIMU   KATIKA   MAISHA   YA
MWISLAMU


4.
NI YAPI MAJINA MAZURI YA MWENYEZI MUNGU?


MATENDO YA NYOYO


6.
MAHOJIANO TULIVU

7.
KUKIRI   KUWA   HAKUNA   ANAYE   STAHIKI
KUABUDIWA ISIPOKUWA MWENYEZI MUNGU TU


8.
KUKIRI KUWA MUHAMMAD NI MTUME
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
WA MWENYEZI MUNGU

9.

TWAHARA








10.

SHERIA ZA MWANAWAKE



11.
MWANAMKE KATIKA UISLAMU



12.
 SALA








13.
ZAKA









14.
KUFUNGA  SAUMU












15.

HIJA NA UMRA









16
.
Huu ni muhtasari wa matendo ya Hija kwa mpangilio:









17
.
FAIDA MBALI MBALI












18.
RUQ-YA KISHERIA












19.
DUA









20.

DUA
MUHIMU
AMBAZO
INATAKIWA
KUZIHIFADHI NA KUOMBA KWAZO






21.

BIASHARA YENYE FAIDA












22.

NYIRADI ZA KILA SIKU, ASUBUHI NA JIONI









23.
KAULI  NA  VITENDO  AMBAVYO  NDANI  YAKE
KUNA MALIPO MAKUBWA







24.
MAMBO YALIYOKATAZWA








25.
 SAFARI YA MILELE






26.
 NAMNA YA KUTAWADHA



27.
 NAMNA YA KUSALI



28.
 ELIMU INAHITAJI UTEKELEZAJI

 


    Qur'ani  ni  maneno  ya  Mwenyezi  Mungu,  na  ubora  wake,  ukilinganisha  na
maneno  mengine,  ni  kama  ubora  wa  Mwenyezi  Mungu  juu  ya  viumbe  wake.
Kuisoma Qur'ani ni jambo bora sana ambalo ulimi ume
litamka.
MIONGONI   MWA   FADHILA   ZA   KUJIFUNZA   QUR'NI   NA
KUIFUNDISHA NI:
MALIPO  YA  KUIFUNDISHA
  Mtume,
(
Swalla  Allaahu  ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
  Mwenyezi  Mungu
amfikishie  rehema  na  amani,  amesema  kuwa:
"Mbora  wenu  zaidi  ni  yule
aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".
Bukhari.
MALIPO YAKUISOMA
 Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema  na  amani,  amesema  kuwa:
"Mwenye  kusoma  herufi  katika  kitabu  cha
Mwenyezi Mungu atapata zuri (moja) kwa herufi hiyo
(moja aliyoisoma), na zuri
(moja) ni kwa mazuri kumi mfano wake
"
.
Tirmidhiy
.
FADHILA  ZA  KUJIFUNZA  QUR’ANI,  KUIHIFADHI  NA  KUISOMA
KWA  UHODARI
  Amesema  Mtume,
(
Swalla  Allaahu  ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
  Mwenyezi  Mungu
amfikishie rehema na amani, kwamba:
"Mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na
ilhali  ni  mwenye  kuihifadhi,  atakuwa  pamoja  na  Malaika,  Watukufu,  Wema.  Na
mfano  wa  ambaye  anaisoma  Qur'ani  na  ilhali  yeye  anaipatiliza  na  huku  ikiwa
ngumu kwake, basi atapata malipo mawili"
.
Bukhari,

Muslim
.  
Na Amesema Mtume,                     
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema  na  amani,  kuwa:
"
Ataambiwa  msomaji  wa  Qur'ani  kwamba:  Soma  na
panda (daraja) na soma kama ulivyokuwa ukisoma duniani, kwani daraja yako ni
pale mwisho wa aya utakayoisoma".
Tirmidhiy
.  
MALIPO YA MTU AMBAYE MTOTO WAKE AMEJIFUNZA QUR’ANI
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema
kuwa:
"Yeyote  aliyesoma  Qur'ani  na  akajifunza  na  akaitekeleza,  wazazi  wake
watavalishwa  taji  la  nuru  Siku  ya  Kiyama.  Mwangaza  wake  ni  mfano  wa
mwangaza wa jua. Na wazazi wake watavalishwa suti mbili, na kwa sababu hiyo,
watauliza: Ni kwa sababu ya jambo gani tumevishwa haya? Watajibiwa: Ni kwa
sababu ya mtoto wenu kujifinza Qur'ani"
.
Al-haakim
.
QUR'ANI  KUMUOMBEA  MSOMAJI  WAKE  HUKO  AKHERA
  Mtume,          
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Someni Qur'ani, kwani itakuja Siku ya Qiyama ikiwa ni muombezi wa wasomaji
wake"
.
Muslim
.  
Aidha Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani,
amesema kuwa:
"Saumu na Qur'ani zitamuombea mja Siku ya Kiyama".
Ahmad, Al-
haakim
.
MALIPO  YA  KUJUMUIKA  KWA  AJILI  YA  KUSOMA  QUR'ANI  NA
KUIDURUSU
 Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na
amani,  amesema  kuwa:
"Hawakukusanyika  watu  katika  nyumba  miongoni  mwa
nyumba  za  Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  wakikisoma  kitabu  chake  na  kukidurusu
FADHILA ZA
QUR’ANI
3


baina  yao  isipokuwa  tu  unawashukia  utulivu  na  inawaenea  rehma  na  Malaika
huwazunguka na Mwenyezi Mungu huwataja pamoja na viumbe walioko kwake
"
.
Abudaud
BAADHI YA KANUNI ZA USOMAJI:
TARATIBU  ZA  USOMAJI
  Ibn-kathiir  ametaja  taratibu  nyingi.  Miongoni
mwake  ni  hizi:  Mtu  kutoshika  Qur'ani  na  kutoisoma  isipokuwa  tu  anapokuwa
twahara,  kupiga  mswaki  kabla  ya  kuisoma  Qur'ani,  mtu  kuvaa  nguo  zake  nzuri
sana,  kuelekea  Qibla,  kusitisha  kusoma  mtu  anapokwenda  myayo,  kutokatisha
kusoma  kwa  kuzungumza  isipokuwa  tu  kwa  dharura,  kuw
a  makini,  kusitisha
kusoma  katika  aya  za  ahadi  (za  rehma)  ili  msomaji  a
ombe  (rehma)  na  kusitisha
kusoma katika aya za makamio (ya adhabu) ili msomaj
i aombe kinga, kutouweka
msahafu ukiwa umetandazwa chini na kutoweka kitu chochote juu yake, baadhi ya
wasomaji kutosoma kwa sauti  ya juu mbele  ya  baadhi
ya wasomaji wengine (ili
wasiwe kero) katika kusoma na kutosoma masokoni na katika sehemu za zogo.

NAMNA YA KUSOMA
*Kusoma  Qur’ani  na  nyiradi  katika  sala  hakutambuliki  mpaka  tu  mtu  atamke
kwa kiasi ajisikilizishe yeye mwenyewe
bila ya kumtatiza mwengine.
*Inatakiwa  mtu  awe  mtulivu  katika  kusoma  kwake.  Anas,  Mwenyezi  Mungu
amuwiye radhi, aliulizwa kuhusu usomaji wa Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi
Mungu amfikishie rehema na amani, akasema:
"(Mtume)
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Alikuwa
anavuta  sana  anaposoma
"Bismil-laahir-rahmaanir-rahiim
"
Anavuta  "
Bismillaah
".
Anavuta

Arrahmaan

Anavuta
"
Arrahiim
"
.
Bukhariy
.
KUSOMA KWA KUHIFADHI
 Ikiwa msomaji wa Qurani anapata mazingatio,  
tafakuri na umakini zaidi akisoma kutokana na kuhifadhi kwake, basi
kusoma kwa
kuhifadhi ni bora zaidi
 kuliko kuangalia msahafu. Ikiwa kusoma kwa kuhifadhi
na kuangalia msahafu kuko sawa,
basi kusoma kwa kuangalia msahafu ni bora
zaidi
.   

USIA
:
Ndugu yangu, fanya bidii ya kuutumia wakati wako katika kuisoma
Qur'ani
. Jiwekee
kiwango cha kila siku
 na usikiache vyovyote iwavyo. Kichache
kinachodumu ni bora zaidi kuliko kingi kisichodumu. Ikiwa utaghafilika au utalala,
basi kilipe kesho. Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa  aalihi  wa  sallam
)
 Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na
amani, amesema kuwa:
"
Aliyelala akapitwa na hizbu (uradi) yake au sehemu
ya
hizbu  yake  akaisoma  katika  wakati  uliopo  baina  ya  sala  ya  Alfajiri  na  sala  ya
Adhuhuri, ataandikiwa kama ameisoma usiku"
.
Muslim
.

Usiwe miongoni mwa walioiacha Qur'ani au kuisahau
kwa namna yoyote;
kama  kuacha  kuisoma  au  kuacha  kuizingatia  au  kuacha  kuitekeleza  au  kuacha
kuifanya tiba.

 


 TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR’ANI TUKUFU



سنة النشر : 2011م / 1432هـ .
حجم الكتاب عند التحميل : 21.5 ميجا بايت .
نوع الكتاب : pdf.
عداد القراءة: عدد قراءة TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU

اذا اعجبك الكتاب فضلاً اضغط على أعجبني
و يمكنك تحميله من هنا:

تحميل TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU
شكرًا لمساهمتكم

شكراً لمساهمتكم معنا في الإرتقاء بمستوى المكتبة ، يمكنكم االتبليغ عن اخطاء او سوء اختيار للكتب وتصنيفها ومحتواها ، أو كتاب يُمنع نشره ، او محمي بحقوق طبع ونشر ، فضلاً قم بالتبليغ عن الكتاب المُخالف:

برنامج تشغيل ملفات pdfقبل تحميل الكتاب ..
يجب ان يتوفر لديكم برنامج تشغيل وقراءة ملفات pdf
يمكن تحميلة من هنا 'http://get.adobe.com/reader/'


كتب شبيهة بـ TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU:

قراءة و تحميل كتاب Je IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu PDF

Je IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu PDF

قراءة و تحميل كتاب Je IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب DOSA DOSA YANG DIANGGAP BIASA PDF

DOSA DOSA YANG DIANGGAP BIASA PDF

قراءة و تحميل كتاب DOSA DOSA YANG DIANGGAP BIASA PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب SYARH PRINSIP PRINSIP DASAR KEIMANAN PDF

SYARH PRINSIP PRINSIP DASAR KEIMANAN PDF

قراءة و تحميل كتاب SYARH PRINSIP PRINSIP DASAR KEIMANAN PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب SAUDARIKU APA YANG MENGHALANGIMU UNTUK BERJILBAB PDF

SAUDARIKU APA YANG MENGHALANGIMU UNTUK BERJILBAB PDF

قراءة و تحميل كتاب SAUDARIKU APA YANG MENGHALANGIMU UNTUK BERJILBAB PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب KASIH SAYANG PDF

KASIH SAYANG PDF

قراءة و تحميل كتاب KASIH SAYANG PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF

الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF

قراءة و تحميل كتاب الاربعون نوويه Hadist Arba rsquo in Nawawiyah PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Muhammed b Abdulvahhab rsquo ın D acirc vetinin Hakikati ve Bu D acirc vetin İsl acirc m D uuml nyasındaki Etkileri PDF

Muhammed b Abdulvahhab rsquo ın D acirc vetinin Hakikati ve Bu D acirc vetin İsl acirc m D uuml nyasındaki Etkileri PDF

قراءة و تحميل كتاب Muhammed b Abdulvahhab rsquo ın D acirc vetinin Hakikati ve Bu D acirc vetin İsl acirc m D uuml nyasındaki Etkileri PDF مجانا

قراءة و تحميل كتاب Gi aacute o L yacute Thực H agrave nh Đơn Giản Từ H agrave o Quang Qur rsquo an v agrave Sunnah: Chương Zakat PDF

Gi aacute o L yacute Thực H agrave nh Đơn Giản Từ H agrave o Quang Qur rsquo an v agrave Sunnah: Chương Zakat PDF

قراءة و تحميل كتاب Gi aacute o L yacute Thực H agrave nh Đơn Giản Từ H agrave o Quang Qur rsquo an v agrave Sunnah: Chương Zakat PDF مجانا